Deuteronomy 23:17-18

17 aAsiwepo Mwisraeli mwanamke kahaba au mwanaume hanithi wa mahali pa kuabudia miungu. 18 bKamwe usilete mapato ya ukahaba ikiwa ni ya mwanamke au ni ya mwanaume katika nyumba ya Bwana Mwenyezi Mungu wako kwa ajili ya nadhiri yoyote, kwa sababu Bwana Mwenyezi Mungu wako anachukizwa na yote mawili.

Copyright information for SwhKC